Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) Agnes Kijo  akiteta jambo na watumishi wa mamlaka hiyo kwenye  mpaka wa Tanzania na Kenya nchini Horohoro katikati ni Mkaguzi Mfawidhi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) mpakani mwa Tanzania na Kenya (Horohoro) Thomas Nkondola
 Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) Agnes Kijo akisisitiza jambo wakati akiongea na watumishi wa mamlaka hiyo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya wa Horohoro . 
Mkaguzi iwa chakula wa Mamlaka ya Chakula na Dawa katika mpaka wa Tanzania na Kenya (Horohoro) Thomas Nkondola kushoto akimuonyesha kitu Kaimu  Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) Agnes Kijo mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza eneo hilo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...