Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na Wakazi wa Dar es
Salaam juu ya umuhimu wa kutunza amani tuliyonayo na umoja wetu kama
watanzania wakati wa Tamasha kubwa la Komaa Concert lililoandaliwa na
kituo cha Radio cha EFM katika Viwanja vya Tanganyika Parkers, Kawe
Msanii
wa Muziki wa Hip Pop Nchini Roma Mkatoliki akiimba na kundi kubwa la
Mashabiki wake waliofika katika Tamasha la Komaa Concert kwenye Viwanja
vaya Tanganyika Parkers Dar es Salaam
Msanii
wa Bongo Fleva Mr Blue akiimba kwa hisa mbele ya Mashabiki wake
waliofika katika tamasha la Komaa Concert katika Viwanja vya Tanganyika
Parkers Dar es Salaam
Msanii
wa Hip Pop Nchini Yound D akiimba katika jukwa ala Komaa Concert
Lililofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Parkers Kawe Jijini Dar es
Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...