Marais
Wastaafu Mzee Al-Hassan Mwinyi,Mh William Mkapa na Mh Jakaya Mrisho
Kikwetee wakiwa na wake zao pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh John
Mongella (pichani kushoto) wakiwa wamewasili uwanja wa ndege jijini
Mwanza tayari kuelekea Chato mkoani Geita kushiriki mazishi ya Dada yake
Rais Dkt John Pombe Magufuli aliyefariki hivi karibuni hospitali ya
Bugando alikokuwa akipatiwa matibabu
Rais
Mstaafu awamu ya tatu,Mh.William Benjamin Mkapa akiwasili uwanja wa
ndege jijini Mwanza mapema leo tayari kuelekea kwenye msiba wa dada yake Rais Dkt John
Magufuli,wilayani Chato mkoani Geita.
Rais Mstaafu awamu ya tatu,Mh.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameambatana
na mkewe Salma Kikwete sambamba na viongozi wengine wakiwasili uwanja
wa ndege jijini Mwanza mapema leo tayari kuelekea kwenye mazishi ya dada
yake Rais Dkt
John Magufuli,wilayani Chato mkoani Geita.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...