Marais Wastaafu Mzee Al-Hassan Mwinyi,Mh William Mkapa na Mh Jakaya Mrisho Kikwetee wakiwa na wake zao pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh John Mongella (pichani kushoto) wakiwa wamewasili uwanja wa ndege jijini Mwanza tayari kuelekea Chato mkoani Geita kushiriki mazishi ya Dada yake Rais Dkt John Pombe Magufuli aliyefariki hivi karibuni hospitali ya Bugando alikokuwa akipatiwa matibabu
 Rais Mstaafu awamu ya tatu,Mh.William Benjamin Mkapa akiwasili uwanja wa ndege jijini Mwanza mapema leo tayari kuelekea kwenye msiba wa dada yake Rais Dkt John Magufuli,wilayani Chato mkoani Geita.
  Rais Mstaafu awamu ya tatu,Mh.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameambatana na mkewe Salma Kikwete sambamba na viongozi wengine wakiwasili uwanja wa ndege jijini Mwanza mapema leo tayari kuelekea kwenye mazishi ya dada yake Rais Dkt John Magufuli,wilayani Chato mkoani Geita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...