Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa Askari wa Jeshi la Akiba ,mafunzo yanayofanyika Masama ,Machame wilayani Hai.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakiwa wameketi tayari kumsikiliza mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo kwa askari wa jeshi la akiba.
Baadhi ya Wakufunzi na viongozi katika usimamizi wa mafunzo hayo kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya aksalimiana na washiriki wa mafunzo hayo mara baada ya kufungua rasmi.
Washiriki wa Mafunzo wakianza rasmi mazoezi kwa vitendo ya kuwaandaa kuwa wakakamavu.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...