Aliyekuwa
Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, na mchezaji wa zamani wa timu ya Yanga
na Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa afanyiwa upasuaji mkubwa wa
moyo.
Mkwasa
yuko jijini New Delhi, India ambako amefanyiwa upasuaji huo mkubwa na
imeelezwa bado yuko katika chumba cha usimamizi maalum, yaani ICU.
Mkwasa
alisafiri takribani wiki moja iliyopita kwenda nchini India kwa ajili
ya matibabu baada ya kugundulika na tatizo la moyo hapa nchini.
Mkwasa aliamua kujiuzulu nafasi yake ndani ya Yanga kwa ajili ya kujiuguza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...