Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Kapteni (Mst) George H. Mkuchika akizungumza na waandishi wa
habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa baadhi ya Makatibu Tawala wa
Wilaya katika Ukumbi wa mikutano wa Utumishi jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumidhi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akisikiliza swali la mwaandishi wa habari (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Utumishi jijini Dar es Salaam mara baada ya kutangaza majina ya baadhi ya Makatibu Tawala wa Wilaya walioteuliwa na Serikali. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumidhi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akisikiliza swali la mwaandishi wa habari (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Utumishi jijini Dar es Salaam mara baada ya kutangaza majina ya baadhi ya Makatibu Tawala wa Wilaya walioteuliwa na Serikali. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumidhi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...