Nani atakuwa bingwa ya Super Cup, kati ya Real Madrid Na Atletico Madrid
Jumatano hii? Usikose mechi hii kali ya mabingwa hawa mawili wakiwania
ubingwa wa jumla wa Super Cup ndani ya DStv , Ni Jumatano hii saa 4 usiku
kupitia Supersport 3 iliyopo kwenye DStv pekee kifurushi Compact kwa sh.69,000
tu!
Bila kusahau, wateja wa DStv wanaweza pakua “Download Application” ya
DstvNow itakayowawezesha watanzania wengi kufurahia msimu huu wa soka
kwani unachotakiwa tu ni kuwa na akaunti yako ya DStv na unaweza kutazama
katika vifaa zaidi ya vinne kama vile simu, kompyuta, na televisheni ya kawaida
ukiwa mahali popote wakati wowote bila gharama ya ziada!
Ukiwa Na DStv, soka ni mwanzo mwisho yani Moto hauzimi, na kama sio DStv,
Potezea!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...