Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akizungumza na wahandisi na wakandarasi wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Kaimu Msajili wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Mhandisi Patrick Barozi (kulia), akitoa utambulisho kwa wahandisi na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Profesa Ninatubu Lema (kulia) akitoa neon la utangulizi kwa mgeni rasmi wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa akimkaribisha mgeni rasmi, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi kuzungumza na wahandisi na wakandarasi wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akimkabidhi tuzo ya heshima Naibu Balozi wa Norway Tanzania Trygve Bendiksby wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) tangu ianzishwe mwaka 1968.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akimkabidhi tuzo ya heshima Mhandisi Milton Nyerere kwa niaba ya familia ya Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere kwa kutambua mchango Baba wa Taifa katika kuanzishwa kwa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (kushoto) akipokea saa toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Profesa Ninatubu Lema (kulia) kwa niaba ya Rais John Magufuli wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 50 ya Bodi hiyo tangu ianzishwe mwaka 1968.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...