Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeusimamisha mchakato wa uchaguzi katika klabu ya Simba kutokana na kukiuka baadhi ya taratibu stahiki.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi (TFF), Revocatus Kuuli, amesema mchakato wa uchaguzi huo umegubikwa na mambo mengi ambayo hayajafuata taratibu rasmi.
Mbali na hilo migogoro mbalimbali ya wanachama nayo imepelekea kusimamishwa kwa uchaguzi huo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...