Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Augustine Mboje(kushoto) akipokea vifaa vya
michezo toka kwa Mkurugenzi Mkuu wa SANLAM LIFE INSURANCE Bw. Khamis Suleiman,(wa
tatu toka kulia) ni Meneja Uhusiano Mkuu wa SANLAM LIFE INSURANCE, Bw. Kileo Rishia.
Mkurugenzi Mkuu wa SANLAM LIFE INSURANCE Bw. Khamis Suleiman pamoja na
Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Augustine Mboje(kushoto) wakikagua vifaa vya michezo
kabla ya makabidhiano rasmi, leo Septemba 18, 2018 jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa SANLAM LIFE INSURANCE Bw. Khamis Suleiman (meza kuu)
akizungumza na Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Augustine Mboje (wa pili kushoto)
pamoja na ujumbe kutoka Jeshi la Magereza katika Ofisi za SANLAM LIFE INSURANCE Makao
Makuu, leo Septemba 18, 2018 jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Augustine Mboje akimshukuru Mkurugenzi Mkuu
wa SANLAM LIFE INSURANCE Bw. Khamis Suleiman mara baada ya makabidhiano ya vifaa
hivyo vya michezo katika ofisi za SANLAM LIFE INSURANCE Makao Makuu, leo Septemba 18,
2018 jijini Dar es Salaam.(Picha na Jeshi la Magereza).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...