Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Bunda Mjini, Ester
Bulaya, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi Mhandisi. Hamad Masauni, Bungeni jijini Dodoma, Septemba
11, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Habari, Sanaa,
Utamaduni na Michezo Dkt. Harison Mwakyembe, Bungeni jijini Dodoma,
Septemba 11, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini
Peter Serukamba, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 11,
2018.
6 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Mbunge wa Chalinze
Rizwani Kikwete, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 11,
2018. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...