Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi. Hamad Masauni, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt. Harison Mwakyembe, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Peter Serukamba, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.

6 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Mbunge wa Chalinze Rizwani Kikwete, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...