MKURUGENZI wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Akson, akimsikiliza Mbunge wa Busega, Dkt. Chegeni, walipokuwa wakitambulishwa, madiwani wa CCM wa Mkoa wa Mbeya walioteuliwa katika uchaguzi mdogo uliopita, wakati wa Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018.
WASANII wa Kikundi cha ngoma cha Makandana, wakishambulia jukwaa wakati wa mashindano ya ngoma katika Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018.
WASANII wa Kikundi cha ngoma cha Bagamoyo cha Wilayani Rungwe, wakishambulia jukwaa wakati wa mashindano ya ngoma katika Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018.
WASANII wa Kikundi cha ngoma cha Zanzibar, akishambulia jukwaa wakati wa mashindano ya ngoma katika Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018. (Picha na Muhidin Sufiani)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...