Afisa Habari wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari akikumbushia uchukuaji wa fomu za uchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA unaotarajiwa kufanyika tarehe 6 Oktoba, 2018 jijini Dodoma,ambapo mpaka sasa hakuna mgombea ata mmoja amefika ofisini kuchukua fomu hizo na kurudisha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...