Afisa Habari wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari akikumbushia uchukuaji wa fomu za uchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA unaotarajiwa kufanyika tarehe 6 Oktoba, 2018 jijini Dodoma,ambapo mpaka sasa hakuna mgombea ata mmoja amefika ofisini kuchukua fomu hizo na kurudisha.
Home
Unlabelled
uchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA wasuasua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...