CHAMA CHA WAFAMASIA TANZANIA
Uongozi na wanachama wa Chama cha Wafamasia
Tanzania unatoa pole
kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa. Dkt. John Pombe
Magufuli, ndugu, jamaa na Watanzania wote kwa
ujumla kwa msiba mkubwa
uliotokea kutokana na ajali ya kivuko cha Mv.
Nyerere katika ziwa
Victoria, tarehe 20.09.2018.
Tunawaombea majeruhi
wapone haraka na
Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.
AMINA
Imetolewa na
Rais wa Chama cha Wafamasia Tanzania (PST)
Wafamasia: Wataalamu wako wa dawa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...