Katibu Mkuu Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Ismail Suleiman akizungumza na Wajumbe waliofika katika semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Msajili wa Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Marcel Katemba (wa pili kulia) akizungumza na Wajumbe (hawapo kwenye picha) waliofika katika semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Ismail Suleiman, kushoto ni Mwenyekiti anaeendesha semina hiyo Ndg. Justa Mwatoka Kiwohede na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali, Ndg. Nicholaus Zacharia
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Wakili Harold Sungusia akitoa maada katika semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Katika semina hiyo iliwahusisha wadau na wajumbe mbali mbali kutoka Mashirika yasiyo ya kiserikali Tanzania
Mratibu wa Novelty Youth Centre Tanga ambae pia ni Mjumbe, Ndg. Jasson Eliakimu akizungumza jambo wakati wa semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe wakifuatilia semina ya Mabadiliko ya Sera ya Mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...