Benki ya Azania yenye matawi yake sehemu mbali mbali nchini imeadhimisha wiki ya huduma kwa mteja, lengo kuu likiwa ni kuwashukuru wateja wake kwa kuwa nao bega kwa bega katika ukuaji wa benki hiyo.
Katika maadhimisho hayo benki ya Azania imewatembelea wateja kwenye sehemu zao za kazi lengo likiwa ni kuona namna gani wanaweza kuboresha huduma zao, mbali na hilo waliweza kutoa zawadi na vyeti kwa wateja wao lengo likiwa ni kuwashukuru kwa kuichagua benki hiyo. 
Baadhi ya wateja waliopatiwa Vyeti na Zawadi kwenye maadhimisho ya Wiki ya huduma kwa mteja.

Benki ya Azania imeelekeza nguvu zake katika kuhakikisha kila mteja anapata huduma bora kulingana na mahitaji yake.  
Baadhi ya wateja wakipata maelezo kutoka kwa watoa huduma.
Azania Bank bega kwa bega!
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...