Kaimu Balozi wa Marekani nchini Dk. Inmi Patterson akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali mstaafu Emmanuel Maganga alipokwenda kumsalimia hapo jana. Dk. Patterson yupo mkoani Kigoma kutembelea miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na Serikali ya Marekani. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Bw. Rashid Mchata. (Picha: Ubalozi wa Marekani).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...