Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara za mitaa katika mji wa Chamwino zinazojengwa kwa kiwango cha lami zenye urefu wa kilometa 3.5,  Oktoba 20, 2018. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa na watatu kushoto ni Mbunge wa Chilonwa, Joel Mwaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shamba la zabibu katika kijiji cha Chinangali wilayani Chamwino, Oktoba 20, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mashine za kusukuma  maji ya umwagiliaji wakati alipotembelea shamba la zabibu katika kijiji cha  Chinangali wilayani Chamwino, Oktoba 20, 2018. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia ngoma ya asili ya kabila la Wagogo wakati alipowasili katika kijiji cha Mpwayungu wilayani Chamwino kuakagua ujenzi wa Kituo cha Afya na kuhutubia mkutano wa hadhara, Oktoba 20, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...