Mkuu
wa Wilaya ya Arumeru Mhe Jerry Muro jana ameungana na wananchi wa
kijiji cha LOSIKITO kata ya Mwandeti Halmashauri ya Arusha katika ujenzi
wa shule Mpya ya sekondari ya losiko ambayo inajengwa Kwa nguvu za
wananchi.
Dc
Muro ameamua kuungana na wananchi katika kuhakikisha shule hiyo inaanza
kutumika Mwaka 2019 Kwa lengo la kupunguza uhaba wa shule na vyumba vya
madarasa Kutokana na ongezeko Kubwa la wananchi waliofaulu Elimu ya
Msingi ambao wanapaswa kuingia Kidato Cha kwanza Mwaka 2019.Dc Muro anaendelea na ziara yake katika kata ya mwandeti iliyo halmashauri ya Wilaya ya ARUSHA
Dc Muro akiungana na Wananchi kushiriki ujenzi kuhakikisha shule hiyo inaanza kutumika Mwaka 2019 Kwa
lengo la kupunguza uhaba wa shule na vyumba vya madarasa Kutokana na
ongezeko Kubwa la wananchi waliofaulu Elimu ya Msingi ambao wanapaswa
kuingia Kidato Cha kwanza Mwaka 2019.
Dc
Muro akishiriki ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Losiko katika
kijiji ch Losiko,wilayani Arumeru,ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara
yake
iliyoanza jana katika kata ya mwandeti,katika halmashauri ya Wilaya ya
Arusha ambapo Mkuu huyo wa Wilaya anatarajiwa kutembelea Kata zote 53 za
Wilaya ya Arumeru.
Mkuu
wa Wilaya ya Arumeru Mhe.
Jerry Muro akifafanua jambo mbele ya baadhi wa viongozi aliombatana nao
alipokwenda kuungana na wananchi wa kijiji cha LOSIKITO kata ya
Mwandeti Halmashauri ya Arusha katika ujenzi wa shule Mpya ya sekondari
ya losiko ambayo inajengwa Kwa nguvu za wananchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...