Felix Simbu ni Mtanzaia anaekimbia mbio ndefu Simbu ameshika tafasi ya tano kwenye mashidano Rio Olympic 2017 , na akashika nafasi ya 3, IAAF World Championships London 2017, yupo New York na yupo tayari kwa kuipeperusha bendera ya Tanzania katika mashindani hayo makubwa duniani. Simbu ni mategemeo ya Watanzania kwa sasa katika anga za kimataifa kwenye nyanja za mbio ndefu. Kwiyo macho na masikio ya Watanzaia ni kwake jumapili hii wakiona na kusikia ametutoa kimasomaso kwa kushika nafasi ya juu na kuitangaza vyema bendera ya Tanzania katika mashindano haya yanayojulikana duniani kote kama New York Marathon na kushikirisha wakimbiaji zaidi 50,000 kutoka duniani kote. 


Hapa Simbu akisubiri kufanyia massage katika hotel aliyofikia ya Hilton New York City


Hapa akipata Simbu akipata ukodak na Charles, Charles nae anashirikia Mashindano haya kila mwaka kwaiyo watakuwa wote wakiitangaza vyema bendera ya Tanzania.

Mchua misuri wake akiwa kazini na yeye akisubiri zamu yake

Hapa akiingia Hotel akiwa na NY Ebra!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...