Waziri wa Kazi, Ajira, Sera, Bunge, Vijana na wenye Ulemavu Mhe Jenista Mhagama akimkabidhi Meneja wa NSSF Kahama Ndugu Winston Mundigile Ufunguo wa Ofisi Ndogo alipofungua rasmi kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi Mkoani Kahama. Taasisi mbalimbali zimepewa ofisi ndogo ili kutoa elimu na rasilimali nyingine ili kuwakwamua wananchi wa Wilaya ya Kahama Kiuchumi
Waziri wa Kazi, Ajira, Sera, Bunge, Vijana na wenye Ulemavu Mhe Jenista Mhagama akisalimiana na Baadhi ya Wafanyakazi wa NSSF Kahama katika Ofisi Ndogo ya NSSF alipofungua rasmi kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi Mkoani Kahama. Taasisi mbalimbali zimepewa ofisi ndogo ili kutoa elimu na rasilimali nyingine ili kuwakwamua wananchi wa Wilaya ya Kahama Kiuchumi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...