Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (kushoto)
akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela
alipomkaribisha Bungeni jijini Dodoma leo. Nsekela alimtembelea Spika
Ndugai kwa lengo la kujitambulisha baada ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi
Mtendaji mpya wa Benki ya CRDB.
Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (kushoto)
akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid
Nsekela aliyemtemebelea Bungeni, jijini Dodoma leo kwa lengo la
kujitambulisha baada ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki
ya CRDB. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki hiyo,
Ally Laay.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (kushoto)
akizungumza na ujumbe wa Benki ya CRDB uliomtembelea Bungeni jijini Dodoma leo.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akipungua wakati
alipotambulishwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Job Ndugai, kwa Wabunge jijini Dodoma leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...