Kaimu
Mkurugenzi wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Bw Hisham Hendi akitoa mada
kuhusiana na uchumi wa kidijitali katika mkutano wa mwaka wa Taasisi ya
Usimamizi wa Miradi uliofanyika jana jijini Dar es Salaam. Nyuma ni
Mkurugenzi wa Muendeshaji wa kampuni ya FSDT, Bi Irene Mlola na Mwenyekiti wa DTBi, Bw Mihayo Wilmore.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Universal Communication Service Access Fund (UCSAF), Peter
Ulanga akizungumza katika mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Usimamizi wa
Miradi (PMI) uliofanyika jijini Dar es Salaam mapema jana. Mkutano huu
umelenga kujadili ukuaji wa uchumi wa kidijitali.
Kaimu
Mkurugenzi wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Bw Hisham Hendi akichangia
mada kuhusiana na uchumi wa kidijitali kaatika mkutano wa mwaka wa
Taasisi ya Usimamizi wa Miradi uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Universal Communication Service Access Fund (UCSAF), Peter Ulanga.
Mshauri wa Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI, Bw Anael Ndosa, akichangia mada kuhusiana na uchumi wa kidijitali kaatika mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Usimamizi wa Miradi uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...