Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony
Mavunde akimkabidhi zawadi mmoja ya wanafunzi aliyeongoza katika taaluma
alipokuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 53 ya Chuo cha Elimu ya
Biashara (CBE) leo jijini Dodoma.Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony
Mavunde akitoa tamko la kuwatunuku wahitimu wa ngazi Astashahada,
Stashahada na Shada katika fani za Uhasibu, Biashara, Masoko na Ununuzi
toka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) alipokuwa mgeni rasmi katika
mahafali ya 53 ya Chuo hicho leo jijini Dodoma.
Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Uhasibu wakifurahia burudani kutoka kwa mwanadada aliyekuwa akionyesha kipaji cha kuchezea mpira katika mahafali ya 53 ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) leo jijini Dodoma.
Baadhi
ya wahitimu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali ya 53 ya Chuo
cha Elimu ya Biashara (CBE) leo jijini Dodoma. (Na: Mpiga Picha Wetu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...