Kaimu Ofisa Mkuu wa Teknolojia wa Benki hiyo Bw David Lusala (kushoto) akipokea kwa niaba ya benki hiyo tuzo ya mwajiri bora wa ndani wa mwaka 2018 (Best Local Employer of the year 2018) kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (kulia) kwenye hafla ya tuzo za Mwajiri Bora (EYA) za mwaka 2018 zilizoandaliwa na Chama cha Waajili Tanzania (ATE) na kufanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkuu wa Matawi ya Benki ya Exim Bi Elizabeth Mayengoh (wa tatu kulia) akifurahia pamoja na wafanyakazi wengine wa benki hiyo mara baada ya kukabidhiwa tuzo ya kuwa miongoni mwa waajiri wa ndani bora wa mwaka 2018 (Best Local Employer of the year 2018) kwenye hafla ya tuzo za Mwajiri Bora (EYA) za mwaka 2018 zilizoandaliwa na Chama cha Waajili Tanzania (ATE) na kufanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wengine ni pamoja na Kaimu Ofisa Mkuu wa Teknolojia wa Benki hiyo Bw David Lusala (katikati) pamoja Meneja Msaidizi wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo Bw Abdulrahman Nkondo.
Wafanyakazi wa benki ya Exim wakifurahia kwa pamoja tuzo hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...