Na George Binagi-GB Pazzo, BMG

Mama Madina Mbunda ambaye ni mkazi wa Katunguru wilayani Sengerema ametoa pongezi kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna anavyoendelea kuboresha sekta ya afya ikiwemo ukarabati wa Vituo vya Kituo Afya kama vile Katunguru na kutaka aendelee kuwa Rais hata baada ya muda wake kumalizika.

Mama Mbunda alitoa kauli hiyo jana baada ya Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella kufanya ziara katika Kituo cha Afya Karume kilichopewa shilingi Milioni 400 na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa majengo matano mapya ambayo ni nyumba ya mtumishi, maabara, wadi ya wazazi, jengo la upasuaji pamoja na jengo la kuhifahia maiti kupitia mfumo wa “Force Account”.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...