Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akionyeshwa mchoro wa Kituo cha Kimataifa kitakachojengwa Wilayani Kongwa cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika kutoka kwa Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma aliyembatana na Ndugu Iyaloo ya Nangolo wote wakitokea Nchini Namibia.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwaonyesha Ukumbi wa Bunge la Tanzania waeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela na Ndugu Iyaloo ya Nangolo mara baada ya kumtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.wageni hao walieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...