Mtoa mada kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), Mhandisi Mary Swai akitoa mada kuhusu sheria ya manunuzi ya mwaka 2011 kwa wataalam wa manunuzi, fedha, wakaguzi wa ndani pamoja na wataalam wengine wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Mafunzo hayo ya siku nne yamebeba mada mbalimbali kuhusu sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2011 na marekebisho yake ya mwaka 2016.
????????????????????????????????????
Washiriki mbalimbali wakimsikiliza mtoa mada kuhusu sheria ya manunuzi ya mwaka 2011 kwenye ukumbi wa NPC I katika hospitali hiyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa hospitali hiyo, Gerald Jeremiah akifuatilia mada na aliyesimama ni mtoa mada wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), Castor Komba akiwa pamoja na washiriki.
????????????????????????????????????
Washiriki wakiwa kwenye mafunzo hayo leo yanayohusu sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2011 na marekebisho yake ya mwaka 2016.
????????????????????????????????????
Mtoa mada kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), Mhandisi Mary Swai akisisitiza jambo katika mafunzo hayo leo.
????????????????????????????????????
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada kuhusu sheria ya manunuzi ya mwaka 2011

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...