Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akikunjuwa kitambaa kuashiria ufunguzi wa  Skuli ya  Sekondary ya Ghorofa  Tatu ya JKU Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akitoa hotuba ya ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Ghorofa Tatu ya JKU Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja.

  Katibu mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum za SMZ Radhia Rashid Haroub akitoa taarifa ya ujenzi wa Skuli ya Sekondary ya Ghorofa Tatu ya JKU baada ya kufunguliwa na makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Skuli ya Sekondary ya Ghorofa Tatu ya JKU Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja.
 Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji daraja la Pili na Mkuu wa Elimu ya Kompyuta Yussuf Khatib Mirahi mara baada ya kuingia katika chumba cha Kompyuta ilikuona Vifaa hivyo katika Ufunguzi wa  Skuli ya Sekondary ya Ghorofa Tatu ya JKU Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiiwasha moja kati ya Kompyuta zilizowekwa kwa ajili ya mafunzo baada ya kuingia katika chumba cha Kompyuta katika Ufunguzi wa  Skuli ya Sekondary ya Ghorofa Tatu ya JKU Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja.
 Baadhi ya Wanafunzi wanaosoma katika Skuli ya Sekondary ya JKU  waliohudhuria katika Ufunguzi wa Skuli yao mpya ya Sekondary ya Ghorofa Tatu ya JKU Mtoni Wilaya ya Magharibi A Unguja. PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...