Mkurugenzi wa Masuala ya Habari katika shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na masuala ya vijana la Femina Hip, Amabilis Batamula (kulia) akizungumza kuhusiana na miaka 20 ya shirika hilo wakati wa semina na wanahabari, jijini Dar es Salaam juzi. Picha na Joseph Zablon
Baadhi ya wanahabari wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa kuhusiana na miaka 20 ya Shirika lisilo la kiserikali la Femina Hip, Dar es Salaam juzi. Picha na Joseph Zablon
Mkurugenzi wa Masuala ya Habari katika shirika lisilo la kiserikali ya Femina Hip, Amabilis Batamula akifafanua jambo mbele ya wanahabari baada ya semina na waandishi wa habari kuhusiana na miaka 20 ya shirika hilo, Dar es Salaam juzi. Picha na Joseph Zablon

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...