WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.
Issa Haji Ussi Gavu, akisoma Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa Kamati ya Kudumu
ya Baraza la Wawakilishi ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa
Kitaifa,kulia Mwenyekiti wa Kamati Mhe. Panya Ali Abdallah, akifuatilia
taarifa hiyo wakati ikiwasilishwa katika ukumbi mdogo Ofisi ya Rais
Ikulu.
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya Kusimamia
Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa Zanzibar. Mhe. Panya Ali Abdallah,
akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Issa Haji Ussi Gavu, akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji
wa Mpango Kazi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,
wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar.
WAJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa Zanzibar, wakifuatilia Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, wakati ikiwasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Ussi Gavu.wakati akiwailisha taarifa hiyo kwa Kamati katika ukumbi wa Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar. (Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...