Karibu katika Maonyesho ya Afya yatakayofanyika katika Hoteli ya Colosseum iliyopo Masaki siku ya Jumapili, tarehe 03/02/2019 kuanzia saa sita mchana hadi saa kumi jioni.

Pata nafasi ya kukutana na mabingwa katika kada zaidi ya 15 zikiwemo Lishe, Mazoezi, Ugonjwa wa Kisukari, Magonjwa ya Moyo, Afya ya Meno, Afya ya Akili, Msongo wa Mawazo, Matumizi ya Pombe na Ulevi, Madawa ya Kulevya, Afya ya Uzazi, Mahusiano, nk. Pia kutakuwa na walimu waliobobea katika malezi ya watoto watakaofundisha watoto Juu ya kutunza Afya zao!

Hakuna kiingilio! Karibu sana!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...