Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Dunstan Kitandula akiongoza kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo Kamati imepokea na kujadili taarifa mbalimbali za Wizara ya Nishati, pembeni yake ni Katibu wa Kamati hiyo, Felister Mgonja.

 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo wamepokea na kujadili taarifa mbalimbali za Wizara ya Nishati.

Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati, Subira Mgalu akiwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo Kamati hiyo imepokea na kujadili taarifa mbalimbali za Wizara ya Nishati

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...