Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga akimpongeza Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga mara baada ya kumkabidhi ofisi kufuatia kuhamishiwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI wengine ni wajumbe wa Menejimenti ya sekta ya ujenzi.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga akisisitiza jambo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga katika hafla ya kumkabidhi ofisi wengine ni wajumbe wa Menejimenti ya sekta ya ujenzi.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga katikati akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga katika picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya sekta ya ujenzi katika hafla ya makabidhiano ya ofisi mjini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...