Na Said Mwishehe, Globu ya jamii 

MSHEHERESHAJI aliyekuwa kwenye ubora wake kwa sasa nchini Tanzania Emmanuel Mathias a.k.a MC Pilipili amesema kwa sasa anasubiri Nassib Abdull aoe na kisha naye afuatie. 

MC Pilipili amesema anafahamu ‘Caple’inayosumbua nchini Tanzania ni yake na ile ya Diamond. “Nasubiri tu Diamond afanye mambo yake pale Uwanja wa Taifa na baada ya hapo name nifanye yangu. na Diamond. 

MC Pilipili amesema hayo wakati mashabiki wake na Watanzania kwa ujumla wanaofuatilia nyendo zake wanakumbuka namna ambavyo amemwaga chozi hadharani wakati anamvisha pete ya uchumba mpenzi wake. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...