Mwenyekiti wa Jumuiya ya Nalika Said Masudi kulia,akikabidhi shlingi milioni 15 kwa mkuu wa wilay ya Tunduru mkoani Ruvuma Juma Homera ili kusaidia ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule za sekondari Namwinyu,Ligunga na Matemanga,katikati ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru Gaspar Balyomi na mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mkwanda Sudi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...