Muonekano wa barabara ya Morogoro eneo la Kimara stop over jijini Dar es salaam hivi leo ambapo tayari Ujenzi wa Upanuzi wa barabara hiyo Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 unaendelea.Upanuzi huo utahusisha kuongeza njia za magari kutoka mawili mpaka nane,Mradi huo muhimu ukikamilika utasaidia kupunguza msongamano mkubwa wa Magari takribani 50,000 yanayopita katika barabara hiyo kila siku .Mradi huo utafanyika kwa miezi 30 kuanzia Julai 21,2018 ambapo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 141.56 Fedha zote kutoka serikali ya Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...