Muonekano wa barabara ya Morogoro eneo la Kimara stop over jijini Dar es salaam hivi leo ambapo tayari Ujenzi wa Upanuzi wa barabara hiyo  Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 unaendelea.Upanuzi huo utahusisha kuongeza njia za magari kutoka mawili mpaka nane,Mradi huo muhimu ukikamilika utasaidia kupunguza msongamano mkubwa wa Magari takribani 50,000 yanayopita katika barabara hiyo kila siku .Mradi huo utafanyika kwa miezi 30 kuanzia Julai 21,2018 ambapo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 141.56 Fedha zote kutoka serikali ya Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...