Muigizaji Mkongwe Salome Nonge (Mama Abduli) enzi za uhai wake.
TANZANIA DRAMA & FILM ACTORS ASSOCIATION (TDFAA)
TAARIFA KWA WAIGIZAJI(M) ( KINONDONI /UBUNGO)
Kamati ya Matukio Maadili na mikataba
Inawajulisha waigizaji wote .wadau wa filamu na wa Tanzania,Kuwa Muigizaji Mkongwe Salome Nonge (Mama Abduli).
Amefariki mchana huu nyumban kwakeMbrahati na msiba upo hapo taratibu za Mazishi tutawajulisha baada ya kikao
Asante.
Imetolewa Leo tar 25/Jan/2019
Masoud kaftany
Afisa Habari , Chama cha waigizaji TDFAA (M) Kinondoni / Ubungo
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi-AMEN



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...