Naibu Waziri wa Maji JUMAA AWESO akizungumza katika mkutano wa hadhara ulifanyika Kijiji cha NYONI Wilaya ya MBINGA Mkoani RUVUMA amesema Mkoa wa RUVUMA ulipewa zaidi ya Shilingi Bilioni 15 huku Wilaya ya MBINGA ikipewa zaidi ya Shilingi Bilioni 2.1 katika kuhakikisha wanakamilisha miradi ya maji na kujenga miradi mipya lakini miradi hiyo imekamilika huku Maji hayatoki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...