Jana katikati ya makutano ya barabara ya Goba na Morogoro eneo la Mbezi jijini Dar es Salaam mwendesha pikipiki aligongwa na gari kama aonekanavyo pichani, dereva huyo wa boda boda alinusurika kifo.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
wasamalia wema wakisaidia kunyanyua pikipiki yake hiyo pamoja na Mizigo aliyokuwa amebeba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...