Jana katikati ya makutano ya barabara ya Goba na Morogoro eneo la Mbezi jijini Dar es Salaam mwendesha pikipiki aligongwa na gari kama aonekanavyo pichani, dereva huyo wa boda boda alinusurika kifo.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
wasamalia wema wakisaidia kunyanyua pikipiki yake hiyo pamoja na Mizigo aliyokuwa amebeba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...