RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Waziri wa Vijana Michezo Utamaduni na Sanaa Mhe.Balozi Ali Karume, wakifuatilia moja ya nyimbo ya kikundi hicho “Wakezi na Wakulima ” iliokuwa ikiimbwa na Msanii. Makame Faki, wakati wa hafla hiyo iliofanyika Uwanja wa Kufurahishia Watoto Tibirinzi Pemba.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwanachama wa CUF Mbunge Mstaaf Mussa Haji Kombo, baada ya kumaliza hafla ya Taraab rasmi ya kusherehekea Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, iliofanyika katika Uwanja wa Kufurahishia Watoto Tiborinzi Chakechake Pemba.kushoto Mwenyekiti wa CUF Taifa Mhe. Profesa Ibrahim Lipumba, wakiagana baada ya kumalizika kwa Taarab, jana usiku.12-1-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Waziri wa Vijana Michezo Utamaduni na Sanaa Mhe. Balozi Ali Abeid Karume, baada ya kumalizika kwa hafla ya Taraab rasmin ya kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliofanyika katika Uwanja wa Kufurahishia Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba,kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa amesimama baada ya kuwasili katika Uwanja wa Kufurahishia Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba, wakati ukipigwa Wimbo wa Taifa na Kikundi cha Taraab cha Taifa, kulia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na kushoto Waziri wa Vijana Michezo,Utamaduni na Sanaa.Mhe. Balozi Ali Karum, wa mwisho Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
BAADHI ya Mawaziri Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wananchi wakiwa wamesimama wakati wa kupigwa Wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya Taraab Rasmin ya kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi Zanzibar iliopigwa na Kikundi cha Taraab cha Taifa Zanzibar.
BAADHI ya Wananchi waliokuwa wakihudhuria hafla ya Taraab rasmin ya kusherehekea Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakiwa katika Uwanja wa Kufurahishia Watoto Tibirinzi Pemba wakifuatilia hafla hiyo.(Picha Ikulu)
MSANII wa Kikundi cha Taifa cha Tarab Zanzibar Bi. Amina Abdallah, akiwa jukwaani akiimbo “Wimbo Umewashuka) wakati wa hafla hiyo ya musherehekea Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, iliofanyika katika Uwanja wa Tibirinzi Pemba jana usiku.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...