
-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein akikunjuwa Kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Barabara ya Kijitoupele-Fuoni mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja ,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Ufunguzi wa Barabara ya Kijitoupele-Fuoni mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja ,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir katika Ufunguzi wa Barabara ya Kijitoupele-Fuoni mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja ,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Barabara ya Kijitoupele-Fuoni mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja ,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Taswira ya sehemu ya Barabara ya Kijitoupele-Fuoni mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja iliofunguliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Baadhi ya Wananchi pamoja na Viongozi wa chama na Serikali waliohudhuria katika Ufunguzi wa Barabara ya Kijitoupele-Fuoni mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja ,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...