Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limetuma orodha ya Waamuzi wa Tanzania watakaochezesha mechi za kimataifa wakiwa na beji ya FIFA. 

Katika orodha hiyo wapo waamuzi wa katikati na Waamuzi wasaidizi wa Kiume na wa Kike. Aidha wapo pia waamuzi watakaochezesha soka la Ufukweni. 


Waamuzi wa katikati Wanaume 
1 NASSORO Mfaume Ali 
2 SASII Hery Ally 
3 MWANDEMBWA Emmanuel Alphonce 
4 SAANYA Martin Elifhas 

Waamuzi Wasaidizi 


1 CHACHA Ferdinand 
2 KINDULI Mgaza Ally 
3 LILA Soud Iddi 
4 KOMBA Frank John 
5 MKONO Mohamed Salim 
6 HAULE Mbaraka Haule 


Waamuzi wa Soka la Ufukweni 

1 MSILOMBO Jackson Steven 
2 MWAMBONEKO Geofrey Tumaini 


Waamuzi wa katikati Wanawake 

1 KABAKAMA Jonesia Rukyaa 
2 CHIEF Florentina Zabron 

Waamuzi wasaidizi Wanawake 
1 MDUMA Hellen Joseph 
2 WAMALA Grace 
3 BALAMA Janet Charles 
4 MTWANA Dalila Jafari 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...