Ndugu Isaac Zumba wa Ngarenaro, Arusha. Anatangaza kifo cha mke wake Amabilis Zumba kilichotokea jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mwili unategemewa kuagwa kesho Ijumaa saa sita mchana, Kanisa la Muhimbili Hospital, na baada ya hapo  kuelekea Arusha kwa ajili ya mazishi siku ya Jumanne tarehe 8 Januari. 
Salaam ziwafikie ndugu wote wa  koo za 
Zumba na Mumba waishio ndani na nje ya nchi.
BWANA ALITOA, NA BWANA AMETWAA
JINA LAKE NA LIHIMIDIWE - AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...