Idara  Ya  Uhamiaji  Mkoa  Wa  Tabora  imewafukuza  Nchini  Raia  wa  Kigeni   26  Kati  ya  Watuhumiwa  58  Waliokamatwa Katika Msako Maalumu Uliofanywa na Idara hiyo katika Maeneo mbalimbali Mkoani humo, kwa madai ya  Kukiuka  Sheria  za  Uhamiaji  ikiwemo Kuingia  na   Kuishi Nchini  Pasipokuwa  Na  Kibali  Maalum.

Akizungumza na Waandishi  wa  Habari  Ofisini  kwake  Mrakibu  Mwandamizi  wa Idara  ya  Uhamiaji  ambaye  pia  pi  Kaimu  Afisa  Uhamiaji  Mkoa  Wa  Tabora  Amiru  Sadik amesema Raia hao wa  Kigeni  waliofukuzwa ni  kutoka  katika Nchi za Kongo,Burundi  Na Kenya.Habari picha na Amisa 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...