Baadhi ya akina mama wafanyabiashara ya samaki katika soko la Feri jijini Dar es Salaam, wakiwa hawana la kufanya kutokana na kukosekana kwa mnada wa samaki,baada ya wavuvi kushindwa kutia nanga jana Januari 16,2019 kutokana na opresheni ya ukaguzi wa Lesseni na vibali mbalimbali kwa wavuvi.
Baadhi ya akina mama wafanyabiashara ya samaki
katika soko la Feri jijini Dar es
Salaam, wakiwa hawana la kufanya kutokana na kukosekana kwa mnada wa samaki,baada ya wavuvi kushindwa
kutia nanga jana Januari 16,2019
kutokana na opresheni ya ukaguzi wa Lesseni
na vibali mbalimbali kwa wavuvi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...