Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt Aziz P. Mlima amefanya mazungumzo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega mjini Kampala ambapo walizungumzia changamoto na fursa zilizopo kwa nchi mbili kwenye sekta ya Uchukuzi, reli na bandari na ushoroba wa kati. Mazungumzo hayo pia yalihidhuriwa na Waziri wa Nchi wa Ujenzi wa Uganda Jenarali Edward Katumba Wamala.
Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt Aziz P. Mlima akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega mjini Kampala
Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt Aziz P. Mlima akimkabidhi zawadi ya kahawa ya Tanzania Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega baada ya mazungumzo yao mjini Kampala
Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt Aziz P. Mlima akiwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega mjini Kampala na Waziri wa Nchi wa Ujenzi wa Uganda Jenarali Edward Katumba Wamala.
Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt Aziz P. Mlima akiagana na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega baada ya mazungumzo yao mjini Kampala
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...