Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume akihutubia
katika mkutano wa amani uitwao Global Peace Convention jijini Seoul.
Mkutano huu unaofanyika kila baada ya miaka 2, umekuwa ukizunguka nchi
mbalimbali duniani. Mwaka huu mkutano huo umefanyika nchini Korea ili
kuhamasisha Korea Kusini na Korea Kaskazini waondoe tofauti zao na kuwa
wamoja (OneKorea).
Dkt.
Karume, ambaye ni moja wa wazungumzaji wakuu
katika kujadili maswala ya violent extremism and radicalisation (misimamo
mikali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani, ameeleza matumaini yake
kwamba iko siku kutakuwa na Taifa la Korea Moja.
Kwa
mujibu wa Mkurugenzi Mkazi wa Global Peace Tanzania Bi. Martha Ngh'ambi, Watanzania
mbalimbali wanashiriki kwenye mkutano huo akiwema mke wa Dkt. Karume, Mama
Shadya Karume, ambaye ameongozana naye.
Bi.
Nghambu amesema Mkutanio huu unatarajiwa kufungwa Februari 1, mwaka huu.
Mama Shadya Karume akiwa na washiriki wengine kwenye mkutano huo
Sehemu ya wshiriki wa mkutano wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Sehemu ya wshiriki wa mkutano wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Sehemu ya wshiriki wa mkutano wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Sehemu ya wshiriki wa mkutano wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Mkurugenzi Mkazi wa Global Peace Tanzania Bi. Martha Ngh'ambi akiwa katika mkutano huo wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
akiwa katika mkutano huo wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Bi Shamira Mshangama akiwa katika mkutano huo wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Bi Emma Kawawa akiwa katika mkutano huo wa amani wa Global Peace Convention jijini Seoul.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...