Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti Mheshimiwa George Simbachawene akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokutana na Waziri wa Fedha na Mipango, Waziri wa Madini, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais –TAMISEMI na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kupokea na kujadili muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali Na.2 wa mwaka 2019 hii leo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Bunge.
 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo ilipokutana na Waziri wa Fedha na Mipango, Waziri wa Madini, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais –TAMISEMI na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kupokea na kujadili muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali Na.2 wa mwaka 2019 hii leo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Bunge.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (katikati), akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Bajeti katika ilipokutana na Waziri huyo, Waziri wa Madini, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais –TAMISEMI na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kupokea na kujadili muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali Na.2 wa mwaka 2019 hii leo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...