Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Msemaji wa Jeshi la Magereza, SP. Amina Kavirondo(kulia katikati) alipotembelea Banda la Jeshi la Magereza leo Februari 2, 2019 katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea jijini Dodoma. 
 Mtendaji wa Mahakama Kuu, Bw. Leonard Magacha akimtembeza Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(kushoto) katika mabanda ya Mahakama ya Tanzania alipotembelea leo Februari 2, 2019 katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea jijini Dodoma. 
 Maafisa washiriki katika Banda la Tume ya Utumishi wa Mahakama(kushoto) wakitoa maelezo namna Tume hiyo inavyotenda kazi zake mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(wa pili toka kulia) katika mabanda ya Mahakama ya Tanzania alipotembelea leo Februari 2, 2019 katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea jijini Dodoma. 

Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike akiteta jambo na Bregedia Jenerali Mkande walipokutana leo Februari 2, 2019 jijini Arusha(Picha na Jeshi la Magereza).
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(kushoto) akisaini kitabu cha wageni katika Banda la Jeshi la Polisi alipotembelea leo Februari 2, 2019 katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea jijini Dodoma.                                            

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...